SIKU KUU

 SIKU KUU



Afueni ni la maana,Kufikwa na wasaa

Kula,na waja Wana,kupumbazwa na vyakula

Krisimasi Cha wadia,mwenye enzi aenziwa..



Mapocho twatarajia,bila

 kumbukizi kwa walokosa,

Wengine wamekosa,tone LA maji la kinywa

Krisimasi Cha wadia mwenye enzi aenziwa


Kila mja ni Koko,mwelekeo bila tembea

Mavazi Bora yaenza,hekalu kosa bila

Krisimasi Cha wadia mwenye enzi aenziwa


Mvunyo yanabisha,kupotosha wasotarajika

Midundo Kila aina,misakato na miskuma

Krisimasi Cha wadia mwenye enzi aenziwa



Kasa changu chalia,kutaipu kimechoka,

Cha subra ya vuta heri,mengi yataandika..

Krisimasi Cha wadia mwenye enzi aenziwa



Wuo nyakan

SIKU KUU SIKU KUU Reviewed by Milcah the Poetess on January 15, 2022 Rating: 5

No comments:

All Rights Reserved. Kenyanmindspeak. Powered by Blogger.